Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Safari ni safari

Featured Image

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maisha ni mazuri na mwingine ni mabaya, katika maisha yetu tumeshapitia safari nyingi sana na za aina mbalimbali kwa nyakati mbalimbali. Lakin kiukweli kila safari ni safari tuu.

Japokua kila safari ina changamoto zake lakini mwisho wake ni ule ule , kila safari ina uzuri na upekee wake.

Vile vile kila safari ina ubaya wake, kwa mfano kila safari ina gharama yake kulingana na upekee wake.

Usiwe na wasiwasi na mashaka na aina ya safari ulionayo, jipe moyo utaimaliza na kupata ulichokitarajia. Haya ndio maisha na wote tunatakiwa tuyafurahie.

Ingawa kila mtu ana safari yake bado wote tunatakiwa tufurahie pamoja kwa safari tuliyo nayo. Hata Uwe Na safar ya aina gani wewe furahi tuu. Hii ni kwa sababu safari mwisho wake ni mmoja kwa wote burudani ni ile ile

Safari🍺 ni safari 🍺hata kama ni ya chupa au ya kopo mwisho wake πŸ’€πŸ’€

πŸ˜‹πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ulijua ni nn??

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Zulekha (Guest) on July 19, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mary Kidata (Guest) on July 18, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on July 17, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on July 1, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on June 26, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Vincent Mwangangi (Guest) on June 21, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Amir (Guest) on May 13, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on April 21, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on March 30, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mwakisu (Guest) on March 19, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Daniel Obura (Guest) on March 18, 2024

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Zakaria (Guest) on February 17, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Henry Sokoine (Guest) on February 16, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on February 12, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Rose Lowassa (Guest) on February 2, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on December 13, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Janet Mwikali (Guest) on December 10, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rahim (Guest) on November 17, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on November 13, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Hashim (Guest) on October 17, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Stephen Malecela (Guest) on August 23, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

John Kamande (Guest) on July 26, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Nancy Komba (Guest) on July 20, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on July 20, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Mustafa (Guest) on June 27, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Anna Kibwana (Guest) on June 1, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Andrew Mahiga (Guest) on May 26, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on May 23, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Miriam Mchome (Guest) on May 19, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on May 15, 2023

😊🀣πŸ”₯

Robert Ndunguru (Guest) on May 11, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on May 9, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Irene Akoth (Guest) on April 24, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Zakaria (Guest) on March 16, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Janet Sumaye (Guest) on January 28, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on January 24, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

James Kawawa (Guest) on January 10, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on January 6, 2023

Asante Ackyshine

Irene Akoth (Guest) on December 31, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Christopher Oloo (Guest) on December 29, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Catherine Naliaka (Guest) on December 6, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Alice Jebet (Guest) on December 5, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Francis Njeru (Guest) on November 29, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on November 19, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Ruth Wanjiku (Guest) on October 28, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on September 17, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Alice Jebet (Guest) on July 26, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on July 13, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Josephine (Guest) on July 10, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mary Kidata (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on May 5, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Latifa (Guest) on April 22, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on April 12, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on March 16, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Joseph Mallya (Guest) on March 12, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Robert Okello (Guest) on March 11, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Fikiri (Guest) on March 8, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edward Chepkoech (Guest) on March 8, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on February 24, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Zubeida (Guest) on February 10, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Related Posts

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

πŸ“– Explore More Articles