Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Featured Image

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbinguni na kushoto ni Jehanamu, Je unachagua kwenda wapi?

MANGI: Bwashee, mi nabaki hapa hapa njiapanda aisee.
MALAIKA: Kwa nini?
MANGI: Aisee, nikifungua duka hapa si nitapata wateja wa Mbinguni na Jehanam. Yani patakuwa senta ya hatari, supu na nyama choma muda wote. Hata we utafaidi, unavyoenda kuchukua roho unaniletea stock nakupa hela yako cash mkononi. Na kila ukipita hapa unapiga mchemsho wako wa ulimi na bia mbili chap kabla ya kuingia mbinguni.
Kwanza nashangaa Shirima alipitaje hapa bila kushika ploti, au alikufa amelewa sana?

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Robert Okello (Guest) on July 15, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on June 29, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Rose Kiwanga (Guest) on June 19, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Peter Tibaijuka (Guest) on June 3, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Edward Lowassa (Guest) on April 8, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Janet Mwikali (Guest) on March 22, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Wangui (Guest) on January 30, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on December 29, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Sultan (Guest) on December 22, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rose Kiwanga (Guest) on December 18, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on November 17, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Maneno (Guest) on October 27, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Stephen Mushi (Guest) on October 19, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on October 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Azima (Guest) on September 27, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Ann Awino (Guest) on September 13, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Baraka (Guest) on August 24, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Henry Mollel (Guest) on August 22, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Salum (Guest) on August 18, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on July 24, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mary Mrope (Guest) on June 18, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 18, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on May 19, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mwagonda (Guest) on April 26, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sofia (Guest) on April 25, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Mchome (Guest) on April 14, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Hamida (Guest) on April 10, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 10, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on April 6, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Grace Njuguna (Guest) on April 1, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jane Muthoni (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Khatib (Guest) on March 10, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Michael Mboya (Guest) on February 13, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on February 6, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Victor Kamau (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

George Wanjala (Guest) on January 5, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Stephen Amollo (Guest) on December 8, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on November 1, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Makame (Guest) on October 28, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on October 17, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Janet Sumari (Guest) on October 15, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on September 15, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on August 13, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 12, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on June 19, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Wanjiru (Guest) on June 8, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 7, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

John Malisa (Guest) on May 8, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on April 11, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on March 31, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Kassim (Guest) on March 28, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 23, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on February 20, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on February 1, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nchi (Guest) on January 30, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

John Mushi (Guest) on January 23, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Lissu (Guest) on January 20, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on January 8, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Juma (Guest) on January 3, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Related Posts

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About