Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Featured Image

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu.
Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika
mwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugundua
hawakuwa wakipendana!

2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE)

Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati
mume18 mke 16.Huvunjika baada ya miaka 3 au
4 ya ndoa.

4. NDOA YA MAONYESHO

Wenye ndoa Hii hupenda kujionyesha
barabarani.Ila ndani hazina utii.Hupigana kila
wanaporudi kutoka kwenye mizunguko. Cha
kushangaza huwa hazivunjiki lakini ndiyo ndoa
zinazoongoza kwa kuchepuka!

5. NDOA YA UHAMISHO.

Hufungwa na watumishi wa vijijini na mjini. Ili wa
kijijini ahamie mjini.Mahari utoa anaetaka
kuhamia mjini. Hata kama mahari atatoa mume
lakini hii ndiyo ndoa yenye ukakasi
zaidi.Huvunjika mara tu wanapoanza kuishi wote
mjini. Salama ya hii ndoa ni kuhama kutoka mjini
kwenda kijijini.

6. NDOA YA MIMBA.

Hufungwa kwa sababu wanaoowana hawataki
kuonekana makwao kuwa wamezaa nje. Au
muolewaji alikuwa hampendi muoaji kwa
dhati.Muoaji hutumia mimba kama mtego wa
kuingia ndoani. Hii huvunjika mtoto akizaliwa na
kufikisha mwaka 1.

7. NDOA YA MALI (UTAJIRI)

Muolewaji miaka 18 au 28 Muoaji 65 au 70.Ndoa
hii pia huitwa ndoa ya babu na mjuukuu. Ndoa ya
aina hii hudumu, kwasababu mwenye kauli ni
mwenye mali. Asilimia kubwa ya waume wa ndoa
hizi hulea watoto wasio wao.

8. NDOA YA KWASABABU.

Hufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
aonekane tu kwa jamii kuwa naye kaoa au
kaolewa.Huwa hazina utii wala upendo dhati.
Ndoa ya aina hii ikifikisha miaka 4 huwa
hazivunjiki wahusika huishi kwa mazoea.

9. NDOA YA UPENDO.

Ndoa hizi ziliishia mwaka 1978 kabla ya vita vya
kagera.Muoaji na muolewaji hawakuangalia vitu
ila utu tu ambao uliwaunganisha na kutengeneza
upendo wa kudumu. Hii ilidumu miaka yote.

10. NDOA KUCHUMA

Ndoa hii ufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
akapate kitu au vitu fulani kutoka kwa upande
mmoja wapo. Hii hudumu miaka kadhaa
kutegemea na malengo ya mhusika. Wengine
husubiri mpaka mhusika afe,lkn hujikuta
wanakufa wao kwanza.
Kuwa mwangalifu!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Mallya (Guest) on July 7, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on June 29, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on June 15, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Baraka (Guest) on June 8, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Frank Macha (Guest) on May 25, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on May 21, 2024

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on April 1, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Benjamin Masanja (Guest) on March 7, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Nancy Kabura (Guest) on February 28, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on February 23, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Monica Nyalandu (Guest) on February 12, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Wanyama (Guest) on January 15, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Amani (Guest) on January 7, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Betty Kimaro (Guest) on December 18, 2023

😊🀣πŸ”₯

Betty Kimaro (Guest) on December 11, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faiza (Guest) on November 28, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Rose Lowassa (Guest) on November 26, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on November 26, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on November 13, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Waithera (Guest) on November 6, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lucy Mushi (Guest) on October 20, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Grace Njuguna (Guest) on October 4, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on October 1, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Agnes Lowassa (Guest) on September 15, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on September 12, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Lucy Wangui (Guest) on September 10, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mariam Kawawa (Guest) on July 11, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Mwita (Guest) on July 4, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alice Mrema (Guest) on June 9, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on May 20, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on May 15, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on May 9, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

George Wanjala (Guest) on May 8, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mzee (Guest) on April 3, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Patrick Akech (Guest) on March 17, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on February 18, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on February 6, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mary Kidata (Guest) on January 31, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mwanaidha (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Malela (Guest) on December 23, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Biashara (Guest) on December 14, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Abdullah (Guest) on October 26, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Kevin Maina (Guest) on October 24, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Mary Mrope (Guest) on October 18, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on October 6, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on September 2, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on August 26, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 24, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on August 1, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on July 17, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on July 11, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on July 8, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Baridi (Guest) on June 13, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mary Njeri (Guest) on June 11, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on May 2, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

John Lissu (Guest) on April 12, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Fadhila (Guest) on April 10, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mary Kidata (Guest) on April 3, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 26, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on March 25, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Related Posts

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About