Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hali za ndoa

Featured Image
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, akamwambia baba yake akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa babaake, mwisho babaake akamwambia basi ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu! Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha kikao cha ndugu wote pande 2, Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu alipoolewa ndo kijana wetu atapona! Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote! Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana, mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia wanaume peke yao! Mzee akamwambia mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo? Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani umejionea hali halisi. Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako! Kijana akazimia! SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Benjamin Kibicho (Guest) on July 11, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Guest (Guest) on November 24, 2025

MAHUMB

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 10, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Nora Kidata (Guest) on July 7, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on June 30, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Mushi (Guest) on June 20, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Wilson Ombati (Guest) on June 11, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwajuma (Guest) on June 11, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Catherine Mkumbo (Guest) on May 23, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Adventina chriss (Guest) on May 11, 2024

Marriage are not to be easy

Mwanais (Guest) on May 10, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on May 9, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on April 20, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

George Tenga (Guest) on February 12, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Samson Tibaijuka (Guest) on January 16, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Umi (Guest) on January 13, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Shukuru (Guest) on December 27, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

John Mwangi (Guest) on December 24, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Janet Wambura (Guest) on December 24, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on December 17, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on December 16, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Josephine Nduta (Guest) on November 24, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on November 20, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on November 16, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on November 14, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Lydia Wanyama (Guest) on October 5, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on October 2, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on September 2, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 2, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Rubea (Guest) on August 27, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Moses Kipkemboi (Guest) on August 12, 2023

🀣πŸ”₯😊

Lydia Mutheu (Guest) on August 2, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Neema (Guest) on June 23, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on June 2, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Charles Mboje (Guest) on May 26, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on May 18, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Wilson Ombati (Guest) on May 10, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 27, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Frank Sokoine (Guest) on February 17, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on January 30, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on January 27, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ann Wambui (Guest) on January 17, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Susan Wangari (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Josephine Nekesa (Guest) on January 8, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on December 26, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwanais (Guest) on December 10, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on November 28, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rahma (Guest) on November 20, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Dorothy Nkya (Guest) on November 16, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mwajabu (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Martin Otieno (Guest) on October 18, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on October 9, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on September 30, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mary Njeri (Guest) on September 19, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on September 13, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jamal (Guest) on August 24, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nahida (Guest) on August 10, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Francis Mrope (Guest) on August 4, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

πŸ“– Explore More Articles