Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!.. Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!… MUHINDI: "ntajenga kwa milioni 90!.., 40 za vifaa, 40 za mafundi na milioni 10 faida yangu" MCHINA: "mi ntajenga kwa milioni 70!.., 30 za vifaa, 30 za mafundi na milioni 10 faida yangu" MBONGO kuona vile akamvuta chemba msimamizi wa Magogoni!.. MBONGO: "mi ntajenga kwa milioni 270" MSIMAMIZI WA MAGOGONI: "we una wazimu nn!.. yaani unathubutu kusema hivyo na unaona wenzako wametaja kiwango kidogo?!." MBONGO: "milioni 100 zako, 100 zangu alafu hiyo milioni 70 tunaajiri yule mchina"
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Mwambui (Guest) on July 20, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Guest (Guest) on October 13, 2025

Hahahahahahahahahahahahahahahahaha! Wabongo inatosha jaman

Isaac Kiptoo (Guest) on July 10, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Richard Mulwa (Guest) on July 3, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Ndoto (Guest) on July 2, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Anna Mahiga (Guest) on June 23, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on June 10, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on June 5, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on June 4, 2024

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on May 27, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lydia Wanyama (Guest) on March 27, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on February 22, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Josephine Nduta (Guest) on December 9, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on November 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jamila (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜† Kali sana!

David Nyerere (Guest) on October 2, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Yusuf (Guest) on September 18, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Chum (Guest) on September 14, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on August 24, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Kiwanga (Guest) on August 5, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Miriam Mchome (Guest) on July 12, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on July 5, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Asha (Guest) on June 14, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on May 19, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Janet Sumaye (Guest) on May 2, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on April 27, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Lucy Wangui (Guest) on April 27, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on April 4, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Carol Nyakio (Guest) on February 5, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on February 3, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on January 25, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Charles Wafula (Guest) on December 18, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on December 16, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Anthony Kariuki (Guest) on December 9, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on November 20, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Amina (Guest) on November 1, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 29, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on October 25, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

David Sokoine (Guest) on October 13, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Kazija (Guest) on October 2, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Charles Mchome (Guest) on September 26, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on July 15, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on June 21, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Esther Nyambura (Guest) on June 9, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 27, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Jane Muthui (Guest) on May 25, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on May 23, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on May 1, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Aoko (Guest) on April 24, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joy Wacera (Guest) on April 24, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on April 8, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on April 6, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on March 21, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Nora Lowassa (Guest) on March 11, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on March 7, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Elizabeth Malima (Guest) on March 6, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on February 20, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Ramadhan (Guest) on February 9, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on February 6, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

πŸ“– Explore More Articles