Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja; MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili? MFAMASIA: Kama chumvichumvi MZEE: Hakuna sukari MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jafari (Guest) on July 11, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Guest (Guest) on June 18, 2026

Hatarii

Peter Otieno (Guest) on July 7, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Jamila (Guest) on July 6, 2024

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Stephen Malecela (Guest) on July 6, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Lucy Kimotho (Guest) on June 22, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mary Njeri (Guest) on June 12, 2024

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Guest (Guest) on December 5, 2025

Danlwoad

Christopher Oloo (Guest) on May 10, 2024

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on May 3, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on April 24, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on March 8, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on February 29, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on December 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Agnes Sumaye (Guest) on December 18, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kahina (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Sumaya (Guest) on December 10, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Mrope (Guest) on October 30, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Irene Makena (Guest) on October 25, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on October 16, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on October 12, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on October 11, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rose Amukowa (Guest) on August 14, 2023

🀣πŸ”₯😊

Moses Kipkemboi (Guest) on July 4, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nancy Komba (Guest) on July 1, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on June 24, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on June 18, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Rose Lowassa (Guest) on May 31, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Amani (Guest) on May 15, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on May 13, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Baraka (Guest) on April 14, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rose Mwinuka (Guest) on April 10, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

David Musyoka (Guest) on April 2, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on February 20, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on February 9, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Patrick Akech (Guest) on February 2, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Monica Adhiambo (Guest) on February 1, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Lucy Kimotho (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Mushi (Guest) on November 27, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Daudi (Guest) on November 8, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Edward Chepkoech (Guest) on November 2, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Kijakazi (Guest) on September 27, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Hassan (Guest) on September 23, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Robert Ndunguru (Guest) on September 7, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on September 4, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Ruth Kibona (Guest) on August 20, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on August 3, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Alex Nyamweya (Guest) on July 20, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

David Ochieng (Guest) on May 22, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on May 3, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on April 14, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on April 1, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Rahma (Guest) on March 22, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Asha (Guest) on March 4, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Benjamin Kibicho (Guest) on March 2, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on February 10, 2022

Asante Ackyshine

Stephen Kikwete (Guest) on January 14, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Khatib (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mwalimu (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Related Posts

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About