Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

Shangazi maliza ngazi,
Swaiba geukia mbele,
Kaka hapo shika upande wa pili,
Mdogo wangu mpishe Ma Mkwe akae.
Subiri Shemeji yako apande…

Duh… makonda noma…!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Frank Sokoine (Guest) on June 27, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Guest (Guest) on December 7, 2025

Shamtoi

Susan Wangari (Guest) on June 8, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on June 3, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mary Njeri (Guest) on May 19, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on May 2, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 16, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Betty Akinyi (Guest) on April 9, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Shani (Guest) on March 18, 2024

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Salum (Guest) on February 18, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Jackson Makori (Guest) on December 7, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Husna (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

John Mushi (Guest) on December 1, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on November 23, 2023

🀣πŸ”₯😊

Victor Sokoine (Guest) on September 23, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Safiya (Guest) on September 1, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Betty Akinyi (Guest) on August 29, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Kikwete (Guest) on August 26, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on August 1, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Susan Wangari (Guest) on July 30, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on July 5, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on June 27, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on June 9, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on June 7, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nahida (Guest) on June 5, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 30, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on May 22, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Samuel Omondi (Guest) on May 4, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on April 17, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Daniel Obura (Guest) on April 15, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on April 12, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Joyce Aoko (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Stephen Kangethe (Guest) on April 9, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on April 4, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Maimuna (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Victor Mwalimu (Guest) on March 8, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Peter Mugendi (Guest) on March 4, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on February 27, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

James Malima (Guest) on February 7, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on January 30, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nasra (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Christopher Oloo (Guest) on January 5, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Furaha (Guest) on January 2, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nancy Kawawa (Guest) on December 22, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

David Musyoka (Guest) on December 21, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Furaha (Guest) on December 11, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Lissu (Guest) on November 20, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on November 5, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nassor (Guest) on November 4, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

George Tenga (Guest) on October 27, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

James Malima (Guest) on October 6, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on September 28, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on September 28, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Kenneth Murithi (Guest) on August 12, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Hashim (Guest) on July 24, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

David Sokoine (Guest) on June 13, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Simon Kiprono (Guest) on June 6, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Shamim (Guest) on May 28, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Aziza (Guest) on May 16, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Related Posts

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More