Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Benjamin Kibicho (Guest) on July 18, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Guest (Guest) on December 13, 2025

"TANGAZO"
"TANGAZO"
"JAMANI"
"ABU"
"NIMEPOTEA
"ATAKAENIONA
"ANIPE"TARIFA"
"MANA"
NIMESHAJITAFUTA
SANA"RAKINI"SIJIPATI"

ABU MAHEMBE ME by
nipe
taarifa sasa 0681305278

Guest (Guest) on December 8, 2025

ety wewe nikiungo gani kilichojificha lakini ndo kinatumika sana kwenyemwili wabinadam ....?

Guest (Guest) on December 10, 2025

:KADI YA MWARIKO: wa VITA
familiya ya mzee MAANDAMANO
NA bibi MAUWAJI wanayo furaha kubwa kukualika kwenye sherehe ya mtoto wao mpendwa aitwae KIFO anaetarajia kufunga ndoa nawewe
MABOM NARISASI NDO chakura chenu kilichopo eneo la mtaani kwako tarehe9mwezi12 tunakukaribisha sana kwa maelezo zaidi KAZURURE SOKONI MITAANI NAMJINI UMAUT WAKO NDO mafanikio ya sherehe hiyo
ABU MAHEMBE
menn by
hahaha misimo

Guest (Guest) on December 10, 2025

:KADI YA MWARIKO:
WA vita
familiya ya mzee MAANDANO na
bibi MAUWAJI wanayo furaha kubwa kukualika kwenye sherehe yamtoto wao mpendwa aitwae KIFO anaetarajia kufunga ndoa nawewe MABOM NA RISASI yaliopo eneo lamtaani kwako tarehe 19 mwezi 12vinakukaribisha sana kwamaelezo zaidi KAZURURE SOKONI MITAANI NAMJINI hadi usiku UMAUTI WAKO ndiyo mafanikio yasherehe hiyo
ABU MENN BY
HAHAHA nyoote mnakaribishwaa
misimo

Guest (Guest) on December 8, 2025

".nampenda sana mama
nawewe ndugu yangu mpende sana mamayako mana yeye ndo kafanya mimi nawewe tukajuana muheshim mamayako haijalishi yuko vp kabra hujawaza kumzalau mama yako fikilia kwanza amekubeba tumboni myezi 9 mkumbuke kwaicho kdogo ulichopata mana hata yeye kipindi uko mdogo hakuweza kula paka uliposhiba wewe
hakuvaa nguo nzuri paka ulipo pendeza wewe hakulala usiku paka ulipo lala wewe nabado haikutosha miguu yake ukaifanya ndo choo chako mapajayake ukayafanya kiti chako mgongo wake ukaufanya gari lako lausafiri kila alipo upo nabado haikutosha akajifunya lugha yako yautotoni isioeleweka ir unapoongea ajue unahitaji nini akawa kama kichaa kukuchezesha iri usilie kukuongeresha hali yakuwa huongei ili ujuwe lugha sahihi paka leo umesimama amepitia meng mazito nandomana mama amepewa cheo kikubwa kwamtoto mama nimungu wapili baba asingeweza mama akikupa ladhi hutofanikiwa maisha yako yote nawenda ukawa chizi kabisa
ABU menn by

Guest (Guest) on December 8, 2025

kunasiku baba aliniambia nikasimamie wafanyakazi mi nikaenda kuwasimamia kweli hadi mda wakula nimewasimamia baba akanikuta nimesimama ety wewe mbona unawasimamia watu wako wanakula nikamjibu kwani wewe ulinambia nije kuwakalia au kuwasimamia
waTanzania tutenguege kauri utakuta mtu anajita msimamizi wakati mda wote amekaa oficini sasa wewe nimsimamizi au mkalizi hahaha
abu meenn by

Guest (Guest) on December 3, 2025

watoto waefumbili hamzeeki kila siku watoto wa2000 sasa kwanzia leo nawaita mabibi wa2000

Guest (Guest) on November 29, 2025

yani:mtu:unajickia kumpenda:: :mtu::alafu
anashindwa::kukuamini::
ety we binti wambeya :kwanini huniamini: nakupenda mwenzako
ΒΏ? ΒΏ?

Guest (Guest) on November 29, 2025

''kama ujana maji ""yamoto"""birashaka
""uleo nimaji yabalidi

Benjamin Masanja (Guest) on July 3, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Guest (Guest) on December 2, 2025

".WAKIKULIZA."
".WAMBIE."
".BADO
NATAFUTA

Guest (Guest) on November 29, 2025

,ukozako sebreni
,umechoka unaskia
,mamayako anakwambia wewe? kamwangalie mtoto inje analia we unamjibu
aliaa_anashoto

Guest (Guest) on November 29, 2025

:ukiamua kujitumazako :ufanye kazi
:utaskia akishavutaga :bangi ndoalivyo
yani waTanzania
mhh^_^

David Nyerere (Guest) on June 8, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Guest (Guest) on November 29, 2025

|YANI UTAKUTA |KUNALIJAMAA |RINAMUOGOPA
|BINADAM MWENZAKE |KULIKO HATA LINAVO MUOGOPA MUNGU
IVI UNAAKIRI WEWE!!
"WEWE DADA WEWEKAKA UNAKUWA NAHOFU NABINADAM KULIKO HATA MUNGU UNAAKILI KWELI WEWE(%)

Guest (Guest) on November 29, 2025

%utakuta libaba lizima linamindevu linakwambia nakula ujana
kumbe ujana unaliwa
uleo je?hauliwi

Josephine Nduta (Guest) on May 27, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Wairimu (Guest) on May 23, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Mahiga (Guest) on May 21, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Guest (Guest) on October 8, 2025

"kihele hele "chakumpenda "mpangaji mwenzangu "
*ona leo nalipa kodi "malambili
"(ABU)SIDO)SAMIRU)SIDO

Sarah Mbise (Guest) on May 9, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Jonath (Guest) on April 20, 2024

Good

Guest (Guest) on October 8, 2025

"kumbe mungu alifanya "vema watu kufa "isgekua kufa sijui tungekula nini mana duni ingejaa "watu ABU APA wamiki sido

Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on April 20, 2024

Inafurahisha na kutafakarisha

Samson Mahiga (Guest) on April 20, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joyce Mussa (Guest) on April 20, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on February 10, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on January 30, 2024

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on January 16, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on December 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Guest (Guest) on November 29, 2025

'utakuta kunalijamaa
.linamchukia mtoa mimba :wakati nalenyewe linapiga nyeto ivi unaakili wewe sasa mpiga nyeto namtoa mimba wote sihali moja kasolo mkia

Guest (Guest) on November 14, 2025

VICHEKESHO

Elizabeth Mrope (Guest) on November 5, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on October 5, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on September 29, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

David Musyoka (Guest) on August 26, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Guest (Guest) on November 29, 2025

=mtihani wamaisha
yako mwaka 2025 umetoka somo lauvivu
umepata .23.0%
kujituma .32%
kutukana .45%
utani .75%
upendo .27%
upole .1%
mapenzi .100%
sadaka .0.0%
ibada .5%
kaone usowake
yani yoote umeferi
somo lamapenz ndo umepata mia

Stephen Amollo (Guest) on August 19, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Farida (Guest) on July 31, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Salum (Guest) on July 30, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Peter Otieno (Guest) on July 15, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on July 8, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on June 30, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Benjamin Masanja (Guest) on June 8, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on May 22, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nuru (Guest) on May 18, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 15, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on April 10, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Kheri (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mchawi (Guest) on March 5, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Nancy Komba (Guest) on January 24, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Maimuna (Guest) on January 8, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mercy Atieno (Guest) on January 2, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 31, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on December 29, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Elizabeth Mrope (Guest) on December 16, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Related Posts

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

πŸ“– Explore More Articles