Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimu….kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

lyahas (User) on November 30, 2025

nzuri

George Tenga (Guest) on July 19, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on July 17, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Tabitha Okumu (Guest) on July 11, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Sharifa (Guest) on June 7, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Elizabeth Mrope (Guest) on June 7, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mzee (Guest) on June 2, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Alice Wanjiru (Guest) on May 21, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mazrui (Guest) on May 14, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Patrick Mutua (Guest) on May 6, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Robert Okello (Guest) on April 28, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Khalifa (Guest) on April 13, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Sumaye (Guest) on April 1, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Carol Nyakio (Guest) on March 30, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Samson Tibaijuka (Guest) on March 22, 2024

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Mwalimu (Guest) on March 16, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Victor Malima (Guest) on February 28, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 21, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Malecela (Guest) on February 14, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on February 13, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on January 13, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on January 1, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa (Guest) on November 27, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 19, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

John Lissu (Guest) on October 21, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Miriam Mchome (Guest) on October 2, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on September 10, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Joseph Njoroge (Guest) on August 5, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on July 30, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joseph Mallya (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on June 21, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on June 18, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Kenneth Murithi (Guest) on June 16, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nora Lowassa (Guest) on June 14, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Henry Mollel (Guest) on May 29, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on May 29, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rabia (Guest) on May 11, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on March 28, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Salum (Guest) on March 21, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Zakia (Guest) on March 10, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Jackson Makori (Guest) on March 3, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Yusra (Guest) on February 16, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on February 9, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Frank Sokoine (Guest) on January 30, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Achieng (Guest) on January 20, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on January 1, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on December 22, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on December 19, 2022

🀣πŸ”₯😊

Edwin Ndambuki (Guest) on December 11, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on December 3, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samson Mahiga (Guest) on December 1, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Zawadi (Guest) on October 27, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Fredrick Mutiso (Guest) on October 19, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on October 9, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Omar (Guest) on August 17, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kevin Maina (Guest) on July 2, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Mallya (Guest) on June 20, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Related Posts

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

πŸ“– Explore More Articles