Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Featured Image

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba na mama, ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe wangu huu kwenye karatasi niliyoiweka
juu ya meza, naomba msishtuke mana ni mambo ya kawaida kwenye maisha tunayoishi, najua mtaumia kwa vile bado nasoma na ndiyo nipo kidato cha kwanza…" Napenda kuwajulisha kwamba sasa hivi mnaposoma hii barua sipo nyumbani, nimetoroka mana nimegundua
nina uwezo wa kujitegemea kwa sababu mi ni kijana mwenye umri wa miaka 14 na ninajua kipi chema na kipi kibaya.

Tangu mwezi mmoja uliopita nilikuwa na uhusiano nabinti mmoja aliyeitwa Rachel, mwenye umri wa miaka 27 na kwa sasa
ndo naishi naye kwenye chumba alichopanga. Nilipokuwa nyumbani sikuwa napata hela za kutosha ila sasa nimeanza kushika noti za shilingi 10,000… Msichana niliyenaye ni mzuri sana wa umbo na ninampenda sana, amenifundisha njia za kutafuta hela.

Amenipangia kazi ya kuuza madawa ya kulevya na yeye ikifika
usiku anaenda kuuza mwili wake, basi kila siku tunapata hela ya kutosha, huyu mchumba wangu ni msichana mwenye bidii, kwa siku analala masaa 6 tu maana mwanaume yeyote akija lazima awe naye
chumbani kwa muda wa masaa 3.

Msiwe na hofu, nipo salama kabisa na nimeamua kumwoa Rachel mana ni kila kitu kwangu. Pia amenunua gari la kubebea mbao kwahiyo biashara inaenda vizuri.

Rachel ameenda kupima afya na amekutwa na upungufu wa kinga
mwilini, mara nyingi namridhisha anapotaka kitu flani, iwe kufanya naye mazoezi ya viungo au kufanya naye mapenzi, si mnajua unapokuwa na mgonjwa unakuwa naye karibu.

Ila mi pia sijihisi vizuri mana kila saa nakohoa tu na sina uhakika kama nimeathirika. Tumepanga baada ya miaka miwili tutawatembelea, nadhani mpaka miaka miwili iishe atakuwa
ameshajifungua, na ni furaha yangu mtamwona mjukuu wenu. Wazazi wangU, sina la kuongeza kwaherini Mungu
akipenda tutaonana.

NB: "Baba na mama, mimi nipo chumbani kwangu najisomea,
mnachokisoma ni h/work ya mwalimu wa kiswahili alituambia tutunge hadithi fupi ya kusisimua, naomba muiangalie kama kuna
makosa!"

Ingekuwa wewe hapo ndi baba au mama ungefanyaje? SHARE na wenzako wasome.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 25, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

James Malima (Guest) on May 28, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on May 28, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Carol Nyakio (Guest) on April 9, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

George Tenga (Guest) on April 4, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on February 29, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Bahati (Guest) on February 5, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Athumani (Guest) on December 21, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on December 13, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Warda (Guest) on December 1, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Adhiambo (Guest) on November 26, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joy Wacera (Guest) on November 2, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Zulekha (Guest) on October 19, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Paul Kamau (Guest) on September 30, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on September 28, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on September 20, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on September 13, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on September 5, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on August 29, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Rubea (Guest) on August 29, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Maimuna (Guest) on August 22, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nora Kidata (Guest) on July 19, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on July 7, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on June 3, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Rubea (Guest) on May 26, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Jebet (Guest) on May 21, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on May 12, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

James Kimani (Guest) on May 10, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Monica Nyalandu (Guest) on May 6, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Wafula (Guest) on May 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on April 25, 2023

🀣πŸ”₯😊

Joy Wacera (Guest) on April 19, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lucy Mahiga (Guest) on April 9, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on April 6, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Carol Nyakio (Guest) on March 20, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Rahma (Guest) on March 13, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nora Lowassa (Guest) on March 10, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on February 25, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on February 4, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on February 2, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Ann Wambui (Guest) on January 30, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Kahina (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Edward Chepkoech (Guest) on December 25, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Maulid (Guest) on October 24, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on October 22, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Leila (Guest) on October 9, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Miriam Mchome (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on September 5, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Stephen Kikwete (Guest) on August 25, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

James Mduma (Guest) on August 20, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alice Jebet (Guest) on July 29, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on July 18, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on July 2, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Victor Malima (Guest) on June 30, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on June 15, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

πŸ“– Explore More Articles