Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Unakumbuka haya enzi za shule?

Featured Image

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani
2.unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af unamuunguza mwenzio
3.mkiruhusiwa tu unakimbia unataka uwe wa kwanza kwenye njia yenu y kurudia nyumban
4.MTU akikukera unamfungia shule (mnapigana baada ya kufunga shule)
5.MTU akikunyima kitu chake unamwambia "Ahaa eeh utaona sa nne"
6.wadada wembamba ndo wanaongoza kwa kusuta wenzao
7.ukiibiwa daftar jipya unalia kuliko hata uliloandika
8.unajaza mapeni kwenye mkebe(compass) na mengine hayaandiki
9.vifaa vingine kwenye mkebe hujawahi hata kuvitumia mfano bikari labda utolee mwibaπŸ˜‚
10.hakuna habari nzur kama kuambiwa Leo hamna shule mwalim haupo
11.habari mbaya zaidi n kurud nyumban kutoka shule una njaa af unaambiwa chakula mgeni kaja tumempa
12.mtoto wa mwalim utamgundua tu kwanzia sweta begi na viatu vyake
13.usiombee umpige mtoto wa mwalim utataman uache shule
14.unatengeneza kifutio cha ndala af unatishia eti kinafuta hadi peniπŸ˜‚
15.ukaguzi na huna ufagio.. unaomba chelewa kwa watu af unaongeza kijiti katikati
16.siku ukienda na ufagio wanakagua maji, ukienda na naji wanakagua kuni au mboleaπŸ˜†
πŸ˜‚
Dah shule zetu hizi kiboko!!

Ipi umeipitia wewe
Share na wengine

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Alex Nakitare (Guest) on July 9, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on June 7, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Issack (Guest) on June 5, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Frank Sokoine (Guest) on May 24, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Agnes Sumaye (Guest) on May 17, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Stephen Kikwete (Guest) on May 6, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on March 15, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nashon (Guest) on February 21, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Guest (Guest) on September 23, 2025

Zotenimepitia nomasanaaaaaaaaaa

Paul Kamau (Guest) on February 5, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on January 30, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on January 17, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 15, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lucy Kimotho (Guest) on November 16, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

John Malisa (Guest) on November 1, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on October 16, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on October 1, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Tambwe (Guest) on September 18, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Esther Cheruiyot (Guest) on September 14, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

George Ndungu (Guest) on September 7, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on September 5, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Charles Mrope (Guest) on August 10, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on August 2, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on July 25, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Violet Mumo (Guest) on July 10, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Majid (Guest) on June 28, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Joseph Kawawa (Guest) on June 7, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Sokoine (Guest) on June 5, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Abubakari (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Nora Kidata (Guest) on April 27, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Agnes Sumaye (Guest) on April 11, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Bernard Oduor (Guest) on April 9, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Patrick Kidata (Guest) on April 2, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mgeni (Guest) on March 29, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

John Kamande (Guest) on March 26, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Jane Muthui (Guest) on March 23, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Esther Nyambura (Guest) on March 19, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on March 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on February 16, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Bakari (Guest) on February 8, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Shani (Guest) on January 28, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Brian Karanja (Guest) on December 31, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on December 27, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Wanjala (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

David Chacha (Guest) on November 13, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Leila (Guest) on November 8, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jaffar (Guest) on November 5, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Kheri (Guest) on August 20, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Esther Cheruiyot (Guest) on July 19, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

John Lissu (Guest) on May 31, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam (Guest) on May 24, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Charles Mboje (Guest) on May 24, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Thomas Mtaki (Guest) on May 18, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on May 5, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Joseph Kitine (Guest) on April 14, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Patrick Kidata (Guest) on April 11, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Wilson Ombati (Guest) on April 4, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Rubea (Guest) on March 28, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Hekima (Guest) on March 10, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Related Posts

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More