Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?
Updated at: 2024-05-25 18:05:22 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana."
Nikashtuka, "Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!"
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo
Updated at: 2024-05-25 17:02:05 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Cha kufanya mpenzi wako akikuacha
Updated at: 2024-05-25 17:11:04 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa
Updated at: 2024-05-25 18:10:48 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake
Updated at: 2023-04-29 22:53:06 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa
Updated at: 2023-04-29 22:53:45 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena
Updated at: 2023-04-29 22:52:55 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na nyama nyingi tu, wakati anakula akagundua kuwa shemeji yake, mke wa rafiki yake hali nyama;
JAMAA: Aise hili ni bonge ya lanchi hii, lakini Levi mbona
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Baadhi ya misemo mikali ya leo
Updated at: 2024-05-25 17:12:45 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Wadada lenu hili. Mimi sipo
Updated at: 2024-05-25 17:48:57 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Wanawake hii nayo ni romantic ?π
Updated at: 2024-05-25 17:07:42 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Utani kwa wadada wembamba
Updated at: 2024-05-25 16:53:01 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!
Updated at: 2024-05-25 17:17:44 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake
Updated at: 2024-05-25 18:11:45 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya
Updated at: 2024-05-25 17:58:13 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Omba omba sio barabarani tuu
Updated at: 2024-05-25 17:13:10 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Sababu ya girlfriend π§ kuniblock
Updated at: 2024-05-25 16:59:40 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo
Updated at: 2024-05-25 17:59:49 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Lugha za namba ni noma
Updated at: 2024-05-25 17:16:07 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu
Updated at: 2024-05-25 18:06:55 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake
Updated at: 2024-05-25 18:13:25 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamiliaβ¦.Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"
ZUZU:"Sunguramilia."
2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTAβ¦Je rais wa kwanza wa Tanzania aliitwaje?" ZUZU:"TANZANIATTA."
3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGEβ¦Je samaki yuko katika jamii ya nini?"
ZUZU:"MELI."
Β
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake
Updated at: 2024-05-25 18:07:14 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!! Kawaida kila msanii lazima ajitambulishe, mfano:- ''YEAH NI TEMBA hapa au
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Je, Chuoni kwako Kukoje?
Updated at: 2023-04-29 22:53:42 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari
Updated at: 2024-05-25 17:48:24 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Hii sasa ni kali
Updated at: 2024-05-25 17:51:18 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu π§ girlfriend wake
Updated at: 2024-05-25 17:00:07 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana
Updated at: 2023-04-29 22:52:21 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambai:
MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu
Updated at: 2024-05-25 18:12:18 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni
Updated at: 2024-05-25 16:55:12 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe
Updated at: 2024-05-25 16:56:37 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Upendo wa kweli ni nini?
Updated at: 2024-05-25 17:44:47 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete
Updated at: 2024-05-25 18:01:40 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ilikuwa kwenye shelf ya chini, wakati anainama apate kuitazama vizuri kwa bahati mbaya (au nzuri!), shuzi likamtoka- druuuuuu,
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo
Updated at: 2024-05-25 18:07:02 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?" Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh? Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ