eBooks: 1000+ Vichekesho vipya: Vichekesho vya AckySHINE - Topic 5 - AckySHINE
Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki π¦
Updated at: 2024-05-25 16:59:23 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?
Updated at: 2024-05-25 18:10:35 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Eti wanadamu walikuja vipi duniani
Updated at: 2024-05-25 17:09:40 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Huyu bibi kazidi sasa
Updated at: 2024-05-25 17:13:16 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari
Updated at: 2024-05-25 17:48:24 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali
Updated at: 2024-05-25 18:00:54 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii
Updated at: 2024-05-25 17:17:14 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia huyu demu alivyo mbulula
Updated at: 2024-05-25 18:03:52 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhudumu akaja,
Mhudumu: kaka nikuhudumie nini,
Jamaa: afathal NILETEE MENU LISTI
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana
Updated at: 2024-05-25 18:07:48 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?
Binti akajibu, "bila samahani mama huku chini nina njia ya uzazi sio mashine ya photocopy"
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa
Updated at: 2024-05-25 17:03:41 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake
Updated at: 2024-05-25 18:11:45 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga
Updated at: 2024-05-25 16:53:49 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu
Updated at: 2024-05-25 18:06:55 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu π§ girlfriend wake
Updated at: 2024-05-25 17:00:07 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Chezea kufulia!
Updated at: 2024-05-25 17:10:34 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu
Updated at: 2024-05-25 17:00:54 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Nilichokifanya leo
Updated at: 2024-05-25 17:45:09 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake
Updated at: 2024-05-25 18:03:43 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi:
SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwakoβ¦
Boss akabaki anashangaa⦠Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!
Updated at: 2024-05-25 18:12:54 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu
Updated at: 2024-05-25 17:55:14 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya
Updated at: 2024-05-25 17:58:13 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake
Updated at: 2023-04-29 22:53:48 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Ka ni wewe?
DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao.
BABA: Kwanini unasema hivyo?
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere
Updated at: 2024-05-25 18:10:58 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana
Updated at: 2023-04-29 22:53:22 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!?
MLEVI; "Nakunywa bia tano!
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya
Updated at: 2024-05-25 18:00:42 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Hapa itakuaje?
Updated at: 2024-05-25 17:52:43 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Tabia za Kimama kwa wanaume
Updated at: 2024-05-25 16:53:11 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Breaking news
Updated at: 2023-04-29 22:52:44 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!
Updated at: 2024-05-25 17:53:28 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy
Updated at: 2024-05-25 18:05:01 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mzee kaingia pharmacy,
MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?β¦.Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka β¦majimaji yaliyomo kwenye
kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa
Updated at: 2024-05-25 18:07:09 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU atoke nje" wakatoka wote ispokuwa Mchungaji na Wazee wawili.
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Cheki kilichompata huyu dada!!
Updated at: 2023-04-29 22:52:39 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ