Log in to access your menu with tools for managing ๐ tasks, ๐ฅ clients, ๐ฐ finances, ๐ learning, ๐ personal growth, and ๐ spirituality, all in one place!.
eBooks: Mbinu za Kilimo na Ufugaji Kukuongezea Mapato - Topic 2 - AckySHINE
Jinsi ya kulima vizuri zao la kabichi
๐ โ
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:45:58 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kichwa cha kabichi kinapofunga vizuri, hutumika kama chakula na huvunwa baada ya kufunga na kukomaa vizuri. Kwa kawaida kabichi hupandwa kwa msimu mmoja, lakini iwapo itakuzwa kwa ajili ya kutoa mbegu hukuzwa zaidi ya msimu mmoja. Endapo inalimwa sehemu yenye maji ya kutosha, inaweza kulimwa msimu wote wa mwaka.
Jinsi ya kumlisha n'gombe anayekamuliwa atoe maziwa mengi
๐ โ
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:15 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ngโombe wa maziwa wanahitaji virutubisho zaidi ili kuweza kuzalisha maziwa kwa wingi hasa katika kipindi cha miezi 3-4 ya mwanzo baada ya kuzaa, wakati ambao uzalishaji wa maziwa unakuwa juu.
Updated at: 2024-05-23 15:46:09 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Inafahamika kuku kutaga mayai mengi hutokana na aina ya mbegu ya kuku, ila jua kwamba hata aina ya mbegu ya kuku yenye sifa ya kutaga mayai mengi kama haitapewa matunzo mazuri ย basi sifa yake ya utagaji itapotea.
Jinsi ya kutengeneza mbolea ya maji ya kunyunyiza kwenye majani
๐ โ
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:04 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mbolea ya kunyunyiza ni nzuri kwani inasaidia kuupa mmea virutubisho moja kwa moja kupitia kwenye majani au shina ambapo ndipo chakula kinahitajika.
Faida za mbolea ya maji ni pamoja na kuongezeka kwa kiwango cha mavuno, uwezo wa mimea kukabiliana na wadudu pamoja na magonjwa, kuvumilia ukame, na kuongeza ubora wa mazao.
Updated at: 2024-05-23 15:45:51 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Vitunguu twaumu viungo vinavyopendwa na watu wengi hasa kwa harufu yake nzuri Kwenye chakula na uwezo wake wa kuondoa harufu mbaya Kwenye chakula (shombo). Vile vile vitunguu twaumu vinatumika kama tiba mbadala ya maradhi mbalimbali.